Gharama au Ada za majina ya biashara Tanzania
Tazama Tozo za majina ya biashara Tanzania.
OMBI
ADA (Tsh)
Ada ya maombi
15,000.00
Ada ya uendeshaji (inalipwa kila mwaka)
5,000.00
Maombi ya kusajili Notisi ya Usitishaji wa Biashara
10,000.00
Maombi ya kusajili mabadiliko ya taarifa yoyote iliyosajiliwa
15,000.00
Kukagua rejesta...