Vigezo vya kusajili Jina la biashara Tanzania
Vigezo 8 vya kusajili Jina la biashara Tanzania Jina la biashara linalokubalika kisheria. Mwombaji awe Mtanzania. Awe na umri kuanzia miaka 18. Namba ya kitambulisho cha taifa (NIN) Namba ya simu iliyosajiliwa ya kwake binafsi. Anuani ya baruapepe hai (binafsi) Anuani ya eneo la biashara. Anuani ya makazi ya mmiliki au wamiliki wa biashara.
0 Comentários 0 Compartilhamentos 11K Visualizações 0 Anterior
Patrocinado

Advertise you business here

Increase Your Online Visibility By Placing Your Bunner Here

Patrocinado
Gaming Sorted https://gamingsorted.com