Vigezo vya kusajili Jina la biashara Tanzania
Vigezo 8 vya kusajili Jina la biashara Tanzania Jina la biashara linalokubalika kisheria. Mwombaji awe Mtanzania. Awe na umri kuanzia miaka 18. Namba ya kitambulisho cha taifa (NIN) Namba ya simu iliyosajiliwa ya kwake binafsi. Anuani ya baruapepe hai (binafsi) Anuani ya eneo la biashara. Anuani ya makazi ya mmiliki au wamiliki wa biashara.
0 Comments 0 Shares 8K Views 0 Reviews
Sponsored

Advertise you business here

Increase your business visibility and reach with potential buyers with us

Gaming Sorted https://gamingsorted.com